BANDA MEDIA BLOG

SIDO MKOA WA DODOMA IKISHIRIKIANA NA TSFR YA UINGEREZA WATOTO MSAADA WA MASHINE MBALIMBALI KWA VIKUNDI VYA WAJASILIAMALI WA MANISPAA YA DODOMA

Mshauri wa SIDO Mkoa wa Dodoma Joyce Setty akimpa mkono mmoja wa wajasiliamali mafundi msaada wa Cherehani kwa ajili ya kushonea bidhaa za ngozi iliyotolewa na Shirika la Viwanda Vidogovidogo SIDO kutokana na msaada uliyotolewa na TSFR ya Uingereza
Meneja wa SIDO Mkoa wa Dodoma Sitephano Ndunguru akizungumza jambo kwenye Hafra ya Kukabidhi vitendea kazi kwa vikundi 45 vya wajasiliamali wanaojishuhulisha na ufundi Kulia Mshauri wa Sido mkoa  Joyce Setty

Afsa Ufundi wa SIDO Mkoa wa Dodoma Nyangusi Meitarami Akionyesha Mabox yaliyokuwa na Mashine mbalimbali vilivyotolewa na Shirika hilo kwa ushirikiano na TSFR ya Uingereza kwa ajili ya vikundi 45 vya wajasiliamali wa manispaa ya Dodoma
Mjumbe wa Kamati ya Ushauri  SIDO Mkoa wa Dodoma  Joyce Setty  akifafanua jambo wakati akizungumza na wajasiliamali wa vikundi 45 vinavyofanya shuhuli za ufundi katika manispaa ya Dodoma, kushoto ni Meneja wa SIDO wa mkoa huo Stephano Ndunguru  [PICHA NA JOHN BANDA, WA BANDA BLOG]









Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG