Katibu Mkuu wa Umoja wa
wanawake Tanzania (UWT) Amina Makilagi akizungumza wakati wa Kikao cha
kawaida cha Baraza Kuu la Jumuiya hiyi Taifa, kilichofanyika Makao Makuu
ya CCM mjini Dodoma, leo Oktoba17, 2017. Kulia ni Katibu wa NEC
Oganaizesheni Pereila Silima na katikati ni Mwenyekiti wa muda wa kikao
hicho Diana Chilolo. (Picha na Bashir Nkoromo)
Mwenyekiti wa muda wa kikao cha
kawaida cha Baraza Kuu la Jumuiya hiyi Taifa, Diana Chilolo,
akizungumza wakati wa kikao hicho kilichofanyika Makao Makuu ya CCM
mjini Dodoma, leo Oktoba17, 2017. Kushoto ni Katibu wa NEC
Oganaizesheni Pereila Silima na kulia ni Katibu Mkuu wa UWT Amina
Makilagi. (Picha na Bashir Nkoromo)
Wajumbe wakishangilia wakati wa
kikao wa kikao cha kawaida cha Baraza Kuu la Jumuiya ya wanawake
Taizania (UWT) kilichofanyika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, leo
Oktoba17, 2017. (Picha na Bashir Nkoromo).
Maofisa wa UWT wakiandaa
makabrasha kabla ya kuanza kikao cha kawaida cha Baraza Kuu la Jumuiya
hiyi Taifa, kilichofanyika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, leo
Oktoba17, 2017. (Picha na Bashir Nkoromo).
Naibu Spika wa Baraza la
Wawakilishi Zanzibar Mgeni Hassan Juma akisalimia alipotambulishwa
katika kikaocha kawaida cha Baraza Kuu la Jumuiya ya wanawake Taizania
(UWT) kilichofanyika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, leo Oktoba17,
(Picha na Bashir Nkoromo).
Tags
CCM UWT