Naibu
Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson (wa pili kulia), Mwenyekiti wa WAMA Mhe. Salma
Kikwete (wa tatu kulia) na Viongozi wengine wa WAMA wakiangalia jaribio la
Kisayansi lililoandaliwa na Mhitimu wa
Kidato cha nne wa shule ya Sekondari ya WAMA NAKAYAMA iliyopo Wilayani Kibiti,
Pwani .
|