BANDA MEDIA BLOG

IGP SIRRO ATEMBELEA KIKOSI 673 CHA JESHI LA WANANCHI MKOANI DODOMA.


PICHA NO 1
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati) akikagua maandalizi ya JWTZ Kikosi cha 673 katika harakati za maandalizi ya  kuamia mkoani Dodoma na alietangulia  mwenye nguo nyeusi  CEO Meltus Franci akimuonyesha IGP maeneo mbali mbali ya kikosi hicho.  Picha na Jeshi la Polisi.
PICHA NO 2
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro  kushoto akiwa na mwenyeji wake CEO Meltus Franci, akikagua ujenzi wa gharama nafuu  katika Kikosi 673 ili kuupata ujuzi huo kutoka JWTZ na Jeshi la Polisi watumie ili kupunguza gharama za Nyumba za Askari mkoani Dodoma katika harakati za kuamia mkoani humo.  Picha na Jeshi la Polisi.

PICHA NO 3
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro  kushoto akiwa na mwenyeji wake CEO Meltus Franci, akikagua ujenzi wa gharama nafuu  katika Kikosi 673 ili kuupata ujuzi huo kutoka JWTZ na Jeshi la Polisi watumie ili kupunguza gharama za Nyumba za Askari mkoani Dodoma katika harakati za kuamia mkoani humo.  Picha na Jeshi la Polisi.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG