
Akitokea benchi
kuchukua nafasi ya Mfaransa mwenzake Mshambuliaji hatari Olivier Giroud
ameinusuru Arsenal kulala mbele ya wenyeji Southamton baada ya kufunga
bao dakika ya 88 akimalizia kazi nzuri ya Alexis Sanchez Mchezo
uliopigwa katika dimba Takatifu la St.Marry timu hizo zimefungana 1-1.

Timu ya Southampton
ilikuwa ya kwanza kupata bao la mapema dakika ya tatu ya Mchezo
likifungwa na Charlie Austin’s na Mpaka Arsenal wakabahatika kupata bao
hilo dakika za lala salama.

SOUTHAMPTON
(3-4-2-1): Forster 6.5; Stephens 7, Yoshida 6.5, Van Dijk 7; Ward-Prowse
6, Romeu 6.5, Hojbjerg 6, Bertrand 7; Tadic 6 (Davis 89), Redmond 6
(Boufal 74); Austin 7 (Gabbiadini 86)
GOAL: Austin 3
BOOKINGS: Stephens, Romeu
SUBS: McCarthy, Pied, Hoedt, Lemina

ARSENAL
(3-4-2-1): Cech 6; Koscielny 6.5, Mertesacker 5 (Welbeck 64, 6), Monreal
6; Bellerin 6, Ramsey 6.5, Xhaka 5 (Wilshere 69, 6.5), Kolasinac 6;
Ozil 6, Sanchez 7; Lacazette 6 (Giroud 72, 7)
GOAL: Giroud 88
BOOKINGS: Bellerin, Wilshere,
SUBS: Ospina, Coquelin, Maitland-Niles, Iwobi.
MANAGER: Arsene Wenger 5
REF: Bobby Madley





Tags
ARSENAL