BANDA MEDIA BLOG

Kijana Aliyetuma Picha za Nyufa za Hosteli za Magufuli UDSM Akamatwa na Jeshi la Polisi


DAR: Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Dar es Salaam, Kumbusho Dawson ambaye alitoa taarifa kuhusu Hosteli kuwa na nyufa amekamatwa na Polisi

Kijana huyo amepelekwa Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam kwa ajili ya mahojiano

Source:Jamii Forums

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG