HomeUJENZI Kijana Aliyetuma Picha za Nyufa za Hosteli za Magufuli UDSM Akamatwa na Jeshi la Polisi byJohn Banda -Monday, December 04, 2017 0 DAR: Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Dar es Salaam, Kumbusho Dawson ambaye alitoa taarifa kuhusu Hosteli kuwa na nyufa amekamatwa na Polisi Kijana huyo amepelekwa Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam kwa ajili ya mahojiano Source:Jamii Forums Tags UJENZI Facebook Twitter