Polisi wa Israel wamesema afisa mmoja amechomwa kisu na kujeruhiwa jirani na kituo cha upekuzi barabani nje kidogo ya mji wa Ramallah. Wapalestina ambao wanadai Jerusalem Mashariki kuwa mji mkuu wa taifa lao la baadaye wanasema uamuzi huo wa kutambua Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel unaifanya Marekani kutokuwa na jukumu lolote kama mpatanishi wa mazungumzo ya amani yaliyokwama.
Tags
PALESTINA