TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO TANZANIA (TARI) IMEBUNI NA KUTENGEZA ZANA YA KUPANDIA MBEGU ZA PAMBA, ALIZETI NA MAHINDI AMBAYO ITAWASAIDIA WAKULIMA KWA KIASI KIKUBWA KATIKA KILIMO
Mtafiti wa kituo cha utafiti wa kilimo cha UKIRIGURU - Mwanza Dauson Maula akionyesha sehemu ya kuweka mbegu katika kifaa hicho ambacho kitapanda mistari 4 kwa wakati mmoja
Mtafiti wa kituo cha utafiti wa kilimo cha UKIRIGURU - Mwanza Dauson Maula akifafanua jambo wakati alipokuwa akiongea na waandishi wa habari jijini Dodoma katika mfululizo wa maonyesho ya wiki ya wabunifu MAKISATU, ambapo kifaa hicho kitapanda mistari 4 kwa wakati mmoja
Banda la maonyesho ya utafiti wa kilimo katika uwana wa jamhuri jijini Dodoma