AMSHA AMSHA YA MAPOKEZI YA WAJUMBE WA SEKRETARIETI YA CCM TAIFA+video
Vijana wa hamasa wakiwa na shamrashamra wakati wa mapokezi ya wajumbe wapya wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu yaTaifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Makao Makuu ya CCM Dodoma leo Januari 24, 2023.