RAIS DKT.MWINYI APOKEA RAMANI YA MJI WA KISASA FUMBASAMBAMBA NA UKUMBI WA MIKUTANO YA KIMATAIFA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea mfano wa ramani ya mji mpya wa biashara, Nyamanzi Wilaya ya Magharibi “B” Mkoa wa Mjini Magharibi. kutoka kwa Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Mhe.Omar Said Shaaban ,Ikulu Jijini Zanzibar.


