Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan kufanya ziara ya Kichama katika kukagua miradi mbalimbali ya kichama ya maendeleo na kuzungumza na Viongozi, Wanachama na Watanzania kwa ujumla.
Ziara hii ni katika Mikoa 4 ambayo ni Kaskazini Unguja, Kusini Unguja, Mjini na Mkoa wa Magharibi.
🗓️ 17 - 18 Januari, 2024
