BANDA MEDIA BLOG

MSANII WA BONGOFLEVA MANDOJO AFARIKI DUNIA


Msanii  huyu wa Muziki wa Bongofleva  Joseph  Francis  maarufu kwa  Mandojo amefariki dunia leo August 11, 2024, akipatiwa matatibu mkoani  Dodoma.

Msanii mwenzake aliyefanya naye kazi kwa ukaribu Domokaya na Soggdogghunter wamethibitisha taarifa hiyo ya kifo cha Mandojo. 

Kwa mujibu wa taarifa za awali Mandojo amefariki kwa kupigwa na wananchi waliodhani kuwa ni mwizi baada ya kutokea mtafaruku kati yake na mtu mmoja ambaye alimuitia mwizi....!!!!

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG