Wasanii mbalimbali wameweza kushiriki mkutano mkuu maalum wa CCM leo tarehe 19 Januari, 2025 Jakaya Kikwete convention centre. Hii ni kutokana na Chama Cha Mapinduzi CCM kuendelea kusapoti kazi na juhudi zao katika kukuza sanaa ya filament na muziki nchini Tanzania
Tags
SIASA


