𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: UEFA wako kwenye mazungumzo ya kubadilisha kanuni za UEFA Champions League

Hakuna
muda wa ziada utakaoongezwa katika hatua ya mtoano, Dakika 90 zikiisha ni Penalty.

Timu zitakazomaliza katika nafasi ya nane bora kwenye msimamo zitaanzia kucheza nyumbani katika robo na nusu fainali ya Champions League.

Timu zinazotoka Taifa moja hazitaweza kucheza mpaka hatua ya Robo Fainali ndio zinaeeza kutana