Mdhamini wetu mkuu Sportpesa Tanzania leo Julai 9 wamekamilisha takwa la kimkataba kwa kutoa gawio la Tsh milioni 262.5 kama sehemu ya mafanikio bora yaliyopatikana kwa msimu wa 2024/25.
SPORT PESA YAWAPA YANGA GAWIO LA ZAIDI YA MIL 262
byJohn Banda
-
0
