Ruvuma
Askofu Raphael Haule wa Dayosisi ya Ruvuma, Kanisa Anglikana Tanzania, Jumapili 22 Februari 2026, ameongoza adhimisho la Ibada ya Misa Takatifu S.B 1 wakati wa Kwaresima.
Misa hiyo Takatifu yenye wazo Kuu: Kufunga, imefanyika katika Kanisa la Mtakatifu Augustino Mjimwema Songea, na kutoa wito kwa wakristo, katika kipindi cha mfungo wa Kwaresima, kufanya Ibada na matendo ya huruma ili kumrudia Mungu.


