BANDA MEDIA BLOG

MASTAA YANGA KATIKA MECHI 10 WAMEZOA TUZO 9 ZA MAN OF THEMATCH


TUZO ZA MAN OF THE MATCH zinakusanywa tu na vijana wa Young Africans ambapo katika mechi 10, wachezaji hao wamebeba tuzo 9. Dube na Maxi wanaongoza kwa kubeba tuzo hiyo, wakichukua mara mbili kila mmoja

🔥
2️⃣Maxi Nzengeli - Pamba Jiji & Namungo FC
2️⃣Prince Dube - Coastal Union & JKT Tanzania
1️⃣Mohamed Hussein - Mtibwa Sugar
1️⃣Pacome Zouzoua - KMC FC
1️⃣Duke Abuya - Fountain Gate FC
1️⃣Laurindo Depu - Dodoma Jiji
1️⃣Mudathir Yahya - Mashujaa FC
🔰...Tuzo ya Man Of The Match inadhihirisha juhudi za mchezaji kwenye mechi husika. Neno moja la pongezi kwao kwa kazi kubwa wanayoendelea kuifanya🤝

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG