BANDA MEDIA BLOG

HUTUBA YA MAMA AFRICA DHIDI YA UBAGUZI WA RANGI MWAKA 1964



HADI Oktoba mwaka 1964 ambapo mwimbaji na mwanaharakati wa Afrika Kusini
🇿🇦 Miriam Makeba, maarufu kwa "Mama Africa", akitoa hotuba kama sehemu ya Kamati Maalum ya Umoja wa Mataifa dhidi ya ubaguzi wa rangi.
Mwaka 1962, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilipitisha azimio lililolaani sera za kibaguzi za apartheid nchini Afrika Kusini na kutoa wito kwa nchi wanachama kusitisha ushirikiano wa kiuchumi na kijeshi na utawala huo.
Katika #BlackHistoryMonth, tunakumbuka kuwa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi si historia tu, ni jukumu la sasa.
Jiunge na kampeni ya Umoja wa Mataifa ya #FightRacism kupinga ubaguzi wa rangi.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG