BANDA MEDIA BLOG

WANAWAKE KUTOKA OFISI YA WAZIRI MKUU – KAZI, AJIRA NA MAHUSIANO WASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

 


Watumishi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano wakiwa katika Maandamano wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa Mkoa wa Dodoma yaliyoadhimishwa katika viwanja vy shule ya Msingi Mbande Wilayani Kongwa leo 08 Machi 2026.

Mgeni rasmi katika Maadhimisho hayo ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule

Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu 2026 inasema” Haki na Usawa kwa Wanawake na Wasichana: Msingi Jumuishi kufikia Dira 2050″. Baadhi ya Wakurugenzi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano wamehudhuria Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyoadhimishwa kimkoa katika Shule ya Msingi Mbande Wilayani Kongwa Jijini Dodoma leo Machi 8, 2026.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG