BANDA MEDIA BLOG

DODOMA YAANZA KUHEMEA JUJU KUTOKANA NA UGENI WA WABUNGE WANAOSUBILI KUAPISHWA PAMOJA NA WANAFUNZI WA V.YUO VIKUU AMBAVYO VIMEFUNGULIWA KWA SASA

Baadhi ya wabunge waliyopo mjini Dodoma wakiwa katika ofisi za Bunge, kama wanavyoonekana wakikabidhi nyaraka kwa Maofisa wa Bunge
Wanafunzi wanajiunga na chuo kikuu cha Dodoma [ UDOM] kozi za mawaka wakwanza wakiwa wamejazana katika kituo cha Daladala cha jamatini mjini humo kwa ajili ya kusubili usafiri ambao umekuwa wa taabu kwa njia hiyo tangu walipoingia.

Wanafunzi hao wakigombania kuingia kwenye mabasi yaendayo UDOM




Vituko haviishi wengine wakaamua kuingilia kwa kupitia madilishani





Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG