BANDA MEDIA BLOG

ZLATAN IBRAHIMOVIC NA EMIL FORSBERG WAIONGOZA VYEMA SWEDEN KUPATA USHINDI


Mchezaji nyota Zlatan Ibrahimovic pamoja na Emil Forsberg wamefanikisha nchi ya Sweden kupata ushindi mdogo wa mabao 2-1 dhidi ya Denmark katika mchezo wa kuwania kufuzo michuano ya Euro 2016.

Katika mchezo huo Emil Forsberg alikuwa wa kwanza kupachika bao kupitia baada ya kuunganisha krosi tamu, na kisha Zlatan Ibrahimovic akipachika bao lake kwa mkwaju wa penati baada ya Forsberg kuchezewa rafu.
Zlatan Ibrahimovic akipachika bao kwa mkwaju wa penati

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG