BANDA MEDIA BLOG

AFISA ARDHI KIBAHA NUSURA AFUKUZWE KAZI

lui1
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akimuhoji Afisa Ardhi wa Wilaya ya Kibaha Majaliwa Jafari kuhusu Hati miliki ambazo zina muda mrefu ofisini kwake bila kupewa wamiliki wa hati hizo. Afisa huyo alijitetea kuwa ana miezi minne tangu aingie katika ofisi hiyo. 
Picha na Kitengo cha Mawasiliano Wizara ya Ardhi

lui2

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG