Mhariri Mtendaji wa magazeti ya
serikali ya Daily News, Habari Leo na SpotiLeo, Gabriel Nderumaki
akifungua Kikao cha Baraza la Wafanyakazi jijini Dar es Salaam jana
kilichokuwa kinajadili Bajeti ya nusu mwaka wa fedha 2015- 2016.Kulia ni
Katibu wa baraza hilo, Shafii Mpenda.
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi
la Shirika la magazeti ya serikali ya Daily News, Habari Leo na
SpotiLeo, wakishiriki majadiliano wakati wa kikao cha baraza la
wafanyakazi kilichokuwa kinafanyika Dar es Salaam jana kujadili Bajeti
ya nusu mwaka wa fedha 2015- 2016 ya taasisi hiyo.
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi
la Shirika la magazeti ya serikali ya Daily News, Habari Leo na
SpotiLeo, wakishiriki majadiliano wakati wa kikao cha baraza la
wafanyakazi kilichokuwa kinafanyika Dar es Salaam jana kujadili Bajeti
ya nusu mwaka wa fedha 2015- 2016 ya taasisi hiyo.
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi
la Shirika la magazeti ya serikali ya Daily News, Habari Leo na
SpotiLeo, wakishiriki majadiliano wakati wa kikao cha baraza la
wafanyakazi kilichokuwa kinafanyika Dar es Salaam jana kujadili Bajeti
ya nusu mwaka wa fedha 2015- 2016 ya taasisi hiyo.
Tags
HABARI KITAIFA