Mwambata wa Utamaduni katika
Ubalozi wa Jamhuri ya watu wa China Bw. Gao Wei akiongea na waandishi wa
habari hawapo pichani wakati wa mkutano kuelezea maadhimisho ya sherehe
za mwaka mpya wa Kichina zitazofanyika Januari 30 mwaka huu jijini Dar
es salaam.
Waandishi wa habari na wadau
mbalimbali wakifuatilia kwa makini maelezo kutoka kwa Mwambata wa
Utamaduni katika Ubalozi wa Jamhuri ya Watu wa China Bw. Gao Wei hayupo
pichani wakati wa mkutano kuelezea maadhimisho ya sherehe za mwaka mpya
wa Kichina zitazofanyika Januari 30 mwaka huu jijini Dar es salaam.
PICHA ZOTE NA ALLY DAUD -MAELEZO
Tags
HABARI KITAIFA