BANDA MEDIA BLOG

PINDA MGENI RASMI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA UTAMADUNI WA WACHINA.

pin1
Mwambata wa Utamaduni katika Ubalozi wa Jamhuri ya watu wa China Bw. Gao Wei akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa mkutano kuelezea maadhimisho ya sherehe za mwaka mpya wa Kichina zitazofanyika Januari 30 mwaka huu jijini Dar es salaam.
pin2
Waandishi wa habari na wadau mbalimbali wakifuatilia kwa makini maelezo kutoka kwa Mwambata wa Utamaduni katika Ubalozi wa Jamhuri ya Watu wa China Bw. Gao Wei hayupo pichani wakati wa mkutano kuelezea maadhimisho ya sherehe za mwaka mpya wa Kichina zitazofanyika Januari 30 mwaka huu jijini Dar es salaam.
PICHA ZOTE NA ALLY  DAUD -MAELEZO

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG