![]() |
| Mfugaji wa Kijiji cha Mpunguzi A, Akichota maji kwa ajili ya kunywesha Mifugo yake, Maji ya Kisima hicho huchangiwa kati ya wanyama hao na Binadamu wanaoishi kijijini hapo |
![]() |
| Mfugaji wa kijiji cha Mapinduzi A, akinywesha Ng'ombe waka maji ya Kisimbayo ambayo yanatumika kwa matumizi ya wakazi kijiji hicho kwa kunywa na kupikia. IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG |
![]() |
| Mfugaji wa Kijiji cha Mpunguzi A, Akichota maji kwa ajili ya kunywesha Mifugo yake, Maji ya Kisima hicho huchangiwa kati ya wanyama hao na Binadamu wanaoishi kijijini hapo |
![]() |
| Mkazi wa Kijiji cha Mapinduzi A. akichota maji ya matumizi ya nyumbani pamoja na kunywa katika kisima kilichopo pembezoni mwa Korongo |
![]() |
| Wakazi hao wakipita pembeni mwa kisima kilichofukiwa na mchanga wa korongo ambacho hufukuliwa wakati wa kiangazi kwa ajili ya kuchoto maji ya kutumiwa na wakazi wa kijiji hicho |
Tags
HABARI KITAIFA







