Mtaalamu
wa mawasiliano katika Ofisi ya Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa
nchini, Hoyce Temu akiendesha mafunzo ya Malengo ya Maendeleo Endelevu
Duniani (SDGs) kwa nia ya kuwawezesha kutumia maarifa yake kusukuma
mbele maendeleo ya mkoa wa Dodoma kwa wanafunzi wa vitivo mbalimbali na
walimu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) yaliyomalizika jana chuoni hapo.
Pichani
juu na chini ni Sehemu ya wanafunzi na walimu wa UDOM wakimsikiliza
mkufunzi Hoyce Temu (hayupo pichani) kwa makini wakati wa mafunzo ya
siku mbili yaliyomalizika jana chuoni hapo.