![]() |
| Waumini wa msikiti wa Ahmadiyya Muslim Jamaat Dodoma wakichinja nyama ya mbuzi kama sehemu ya ishara ya sikukuu ya EID UL AZHA |
![]() |
| Wanawake wa dini ya kiisilamu wa msikiti wa Gadaff mkoani Dodoma wakisali kwenye sikukuu ya Eid ui Azha iliyofanyika jana [PICHA NA PETER MKWAVILA] |
![]() |
Waumini
wa msikiti wa Gadaff Mkoa wa Dodoma wakisikiliza mawaidha toka kwa
imamu (hayupo pichani) jana siku ya sikukuu ya Eid ui Azha
|
Tags
HABARI ZA DINI




