BANDA MEDIA BLOG

Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii wakichambua maoni ya wadau katika Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari katika kikao kilichofanyika jana Mjini Dodoma.

1. 
 Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii wakichambua maoni ya wadau katika Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari katika kikao kilichofanyika jana Mjini Dodoma.
2. Mjumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mhe. Mussa Azzan Zungu akifafanua jambo  mbele ya Wajumbe wa kamati hiyo katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa hazina ndogo Mjini Dodoma.
3. Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mhe. Peter Serukamba akifafanua jambo mbele ya kamati hiyo katika kikao kilichofanyika  Mjini Dodoma. Kulia kwake ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye na Kushoto kwake ni Katibu wa kamati wa Bunge Ndugu. Pamela Pallangyo

PICHA NA JOHN BANDA





Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG