TAMISEMI YAFIKISHWA MBELE YA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI [LAAC]
byJohn Banda-
0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa Mhe. George B. Simbachawene akifafanua jambo mbele ya
Wajumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa
(LAAC) katika kikao kilichofanyika leo Mjini Dodoma.
Makamu mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za
Serikali za Mitaa (LAAC) Mhe. Abdallah D. Chikota akitoa ufafanuzi mbele
ya Wajumbe wa kamati hiyo katika kikao kilichofanyika leo Mjini Dodoma
kushoto kwake ni Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe.Vedasto E. Ngombale
Mwiru.