Meneja Mradi wa Mfumo wa Taarifa kwa Wajasiriamali nchini,(MSMEs) Celestine Mkama, akizungumza kwenye mafunzo ya wajasiriamali juu ya matumizi ya mtandao ya simu kupata taarifa mbali mbali za kiujasiriamali iliyofanyika katika ukumbi wa Vijana wa Katoliki jijini Mbeya.
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Paul Ntinika, akizungumza na wajasiriamali na viongozi wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) kwenye
ufunguzi wa mafunzo ya wajasiriamali juu ya matumizi ya mtandao wa simu
kupata taarifa mbali mbali za kiujasiriamali iliyofanyika ukumbi wa
Vijana wa Kikatoliki-Mbeya mjini.
Baadhi ya wajasiriamali waliohudhuria semina ya TPSF wakifurahi mada kutoka kwa wawezeshaji.
Mkurugenzi
wa Huduma kwa Wanachama wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)
,Louis Accaro, akitoa taarifa ya mafunzo ya Ujasiriamali kwa
wajasiriamali wa Mkoa wa Mbeya iliyofanyika jijini Mbeya
Baadhi ya wajasiriamali waliohudhuria semina ya TPSF wakifuatilia mada mbalimbali
Tags
BIASHARA