BANDA MEDIA BLOG

Kimenukaa..Vyombo vya Habari Nchini Vyaungana Kutoa Tamko Dhidi ya Makonda,Vyatangaza Kumfungia Kuonekana Kwenye Tv,Magazeti na Kusikika Redioni,Wampa Onyo Hilo Pia JPM...!!!


Jukwaa la Wahariri Tanzania limelaani kitendo kilichofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar na kutangaza atakayeshirikiana naye, *hawatarusha matangazo yake.*
"Utekelezaji agizo la kutokufanya kazi na RC Dar unaanza mara moja kwa vyombo vyote vya habari nchini, uamuzi huu waungwa mkono na UTPC"-TEF.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG