Jukwaa la Wahariri Tanzania limelaani kitendo kilichofanywa na Mkuu wa
Mkoa wa Dar na kutangaza atakayeshirikiana naye, *hawatarusha matangazo
yake.*
"Utekelezaji agizo la kutokufanya kazi na RC Dar unaanza mara moja kwa
vyombo vyote vya habari nchini, uamuzi huu waungwa mkono na UTPC"-TEF.
Tags
Paul Makonda

