Watu wengi wameoneshwa kusikitishwa na jambo lililomkuta Mange Kimambi
kuhusu kupigwa mnada kwa Hoteli ya familia yao ambayo Mange anahisa 25%.
Kwa kuonyesha masikitiko yao juu ya jambo hilo, watu wengi wamemuomba
Mange atoe namba ya Akaunti wamchangie ili aweze kulipa deni
wanalodaiwa.
Tags
Mange Kimambi
