Leo March 7 2017 zimeripoyiwa taarifa za moto ulitokea kwenye kituo cha
mafuta cha kilichopo Tegeta ambapo inaelezwa moto huo ulidumu kwa zaidi
ya saa moja.
Kwa mujibu wa dereva wa lori liloungua kwenye kituo hicho cha mafuta
ambapo amesema chanzo cha moto huo ni nyaya za umeme zilizokanyagwa na
kusanabisha moto.
>>’Nimekuja na mafuta hapa wakati tukitoa mafuta kwenye gari
kuweka kwenye visima ndio alikuja mfanyakazi wa hapa pembeni yetu wakati
tunaweka mafuta alikanyaga nyaya za umeme zilizokuwa chini ambazo
zilisababisha moto‘;-Edwin Thomass
Tags
AJALI/ MOTO/ MAJI





