BANDA MEDIA BLOG

TAMISEMI YANOGESHA MAZOEZI YA KILA JUMAMOSI YA PILI YA MWEZI YALIYOAGIZWA NA MAKAMU WA RAIS, MJINI DODOMA

Mbunge wa Jimbo la Metera Livingston Lusinde akishiriki Jogging pamoja na wanamichezo wa Muungano Jogging na Dodoma Fitness Sport Club

Afsa utumishi Ofisi ya Rais Tamisemi  Rose Lugendo mwenye jacket Jeusi, akishiriki mazoezi ya viungo katika uwanja wa Kilimani mjini Dodoma [PICHA NA JOHN BANDA]

Diwani wa kata ya Kilimani Neema Mwaluko ambaye ni mwenyeji wa mazoezi hayo akizungumza jambo alipokuwa akiwakaribisha wageni toka makundi mbalimbali yakiwemo Dodoma Fitness Jogging & Sport Club na Muunga Jogging na wafanyakazi wa TAMISEMI waliyoshiriki mazoezi hayo

Mkuu wa Polisi Wilaya ya Dodoma mjini [OCD] Daniel Shilla akizungumza baada ya kukaribishwa kutoa salamu za jeshi hilo

Mratibu wa Michezo wa TAMISEMI Salum Mkuya akitoa salamu kwa washiriki wa mazoezi hayo

Kutoka kushoto Mbunge wa jimbo la Buyungu Kasulu Bilango, Abdalla Haji Ally jimbo la Kiwani na Livingston Lusinde wa jimbo la Mtera nao walishiriki mazoezi hayo Kupitia Club yao ya Muungano Jogging ya mjini Dodoma
 
Mazoezi ya Viungo yakiendelea
















Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG