BANDA MEDIA BLOG

TFF YAITAKA KLABU YA LIPULI KUFANYA UCHAGUZI


lipuli_e2q8jg7wkz1519yhzdlcujyyy
Kwa muda mrefu, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limefuatilia kwa kina mgogoro wa kiuongozi ndani ya klabu ya Lipuli FC ya Iringa.

Baada ya uchunguzi wake, TFF imetoa maagizo manne yafanyike mara moja.
1.Klabu ya Lipuli ifanye uchaguzi mkuu wa kupata viongozi wake.
2.Kamati ya uchaguzi ya TFF itasimamia mchakato mzima wa uchaguzi huu.
3.Uchaguzi huu utafanyika kwa mujibu wa Katiba ya Lipuli FC uliofanyika tarehe 22 Juni 2014.
4.Kamati ya uchaguzi ya TFF itahakiki na kutoa orodha ya wapiga kura.
…………………………………………………………………………….
IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG