Mgombea wa urais mwaka 2015, kupitia chama cha CHAUMA, wakili msomi
Hashimu Rungwe amesema Rais Magufuli achague wote na kwamba achague na
wabunge toka upinzani na sio kama njia inayofanywa sasa ya kuteua tu
wapinzani walioandaliwa na vyama vyao.
Tags
HASHIM RUNGWE
