Home RAIS DKT. SAMIA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI byJohn Banda -Wednesday, July 24, 2024 0 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 24 Julai, 2024. Facebook Twitter