BANDA MEDIA BLOG

TIK TOK KUMEIBUKA MAMA ANAYEDAI MTOTO ALIYETUPWA NI WAKE


 Kuna mdada huko tiktok huyo hapo kwenye picha  kajitokeza ana dai kwamba  yeye ndiyo mama wa huyo mtoto kaandika ujumbe huu.​    👇👇👇👇                 

  "Watanzania Niko mbele yenu kuwaomba msamaha sana tena sana😭😭😭😭 Sina cha kusema Mimi moyo wangu unavuja damu naona aibu Mimi hata kusema mbele yenu😭😭

Mwanangu naomba nimsamehe pia sikutaka kukutupa Mimi baba yako ndiyo chanzo cha yote haya mwanangu😭😭😭 nimeumia sana tena sana Kwa nilichokifanya mwenzako huku naona aibu Mimi😭😭😭".   

Je, Una maoni gani kuhusu jambo hili?  Kama kweli yeye ndiyo muhusika kumtupa mtoto je una hisi kati ya mwanaume na yeye nani mwenye makosa???

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG