Kasisi Hadsoni Mgumbila wa Kanisa Anglikana Tanzania Pareshi na Dinari ya Hogolo Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma, akiwakabidhi Cheti cha Ndoa Bwana na Bibi Meshaki Kisebuu Hati baada ya kufunga Ndoa Takatifu katika kanisa hilo Agosti 30,2026 (PICHA NA BANDA MEDIA)

