Bingwa wa zamani wa dunia wa mchezo
wa mapigano ya ngumi na karate Ronda Rousey amepata kipigo cha mara
ya kwanza kutoka kwa mpinzani wake Holly Holm katika pambano la UFC
lililofanyika huko Melbourne.
Holm alimdunda Rousey katika raundi
ya sita ya mchezo huo wa uzito wa uzito wa bantam ulioshuhudiwa na
watazamani 56,214 na kuweka historia ya kumpiga kwa mara ya kwanza
Rousey.
Ronda Rousey akirusha konde lililokwepwa na Holly Holm aliyevalia jezi nyeupe.![]() |
| Holly Holm akimpiga teke la kushoto lililompata Ronda Rousey |
![]() |
| Ronda Rousey akiwa chali chini baada ya kupata kipigo kutoka kwa Holly Holm |
Tags
MICHEZO KIMATAIFA



