1.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Job Ndugai akiongea na wajumbe wa Kamati ya
Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi alipokutana na kamati hiyo Mjini
Dodoma, kulia kwake ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mheshimiwa Dkt Mary Nagu.
2.
Tags
Bunge